Advertisements

Thursday, January 19, 2017

MAJALIWA AWASILI MAKAMBAKO KUANZA ZIARA YA MKOA WA NJOMBE

 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na baadhi ya wajumbe wa Kamati ya Ulinzi na ULinzi na Usalama ya Mkoa wa Njombe baada ya kuwasili Makambako kuanza ziara ya mkoa huo Januari 19, 2017. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akipokea maua kutoka kwa Skauti baada ya kuwasili Makambako kuanza ziara ya mkoa wa Njombe Januari 19, 2017. Kulia ni Mkuu wa Mkoa huo Christopher Ole Sendeka. (Picha na Ofisi ya Wiri Mkuu)

No comments: