Advertisements

Wednesday, March 29, 2017

WAZIRI WA SHERIA NA KATIBA, PROF. KABUDI ARIPOTI OFISINI KWAKE MJINI DODOMA

Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Prof.Palamagamba Kabudi akipokea shada la maua kutoka kwa mtumishi Joyce Mtuma mara baada ya kuwasili Wizarani mjini Dodoma.
Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Prof.Palamagamba Kabudi akiangaalia kadi ya Pongezi iliyoasiniwa na watumishi wa wizara mara baada ya kuwasili Wizarani mjini Dodoma
WaziriwaKatibanaSheriaMhe. Prof.Palamagamba Kabudi akisalimiana naNaibu Katibu Mkuu Bw. Amon Mpanju mara baada ya kuwasili Wizarani mjini Dodoma
Waziri wa Katiba na SheriaMhe. Prof.Palamagamba Kabudi akisalimiana na Jaji mfawidhi Kanda ya Dodoma Mhe. Mwanaisha Kwariko alipowasili Wizarani mjini Dodoma
WaziriwaKatibanaSheriaMhe. Prof.PalamagambaKabudiakisikilizamaelezombalimbalialipokutananawatendajiwaWizaranaMahakamakatikaukumbiwamikutanoWizaranimjini Dodoma.

WaziriwaKatibanaSheriaProf.PalamagambaKabudiamewasilikatikaOfisizaMakaomakuuyaWizarazilizokondaniya Chuo Kikuu cha Dodoma nakulakiwanawatumishiwaWizarawaliokomakaomakuuyaSerikalimjini Dodoma. Prof Kabudialiapishwatarehe24/03/2017 Ikulujijini Dar Es SalaamkuchukuanafasihiyobaadayaMhe.RaiskufanyamabadilikomadogokwenyeBaraza la MawaaziriambapoDkt. Harrison MwakyembealihamishiwaWizarayaHabari, Utamaduni, SanaanaMichezo.
NjeyaOfisizaWizaraMhe. Prof. PalamagambaKabudialilakiwanaNaibuKatibuMkuu, Bw. AmonMpanju, MkurugenziwaUtawalanaRasilimaliWatuBw. AloyceMwogofi, JajiMfawidhi Kanda ya Dodoma nawafanyakaziwenginewaWizarawaliopoMakaoMakuuyaSerikalimjini Dodoma.

No comments: