Advertisements

Sunday, April 23, 2017

YANGA SC YAICHAPA TANZANIA PRISONS BAO 3-0 KOMBE LA SHIRIKISHO ASFC

 Mshambuliaji wa Yanga, Amis Tambwe akiruka juu sambamba na kipa wa Tanzania Prisons, Andrew Ntala katika mchezo wa Kombe la Shirikisho uliofanyika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Yanga imeshinda 3-0.
Wachezaji wa Yanga wakishangilia bao la kwanza la timu hiyo lililofungwa na Amis Tambwe.

 Wachezaji wa Tanzania Prisons wakiomba dua kabla ya mchezo.
Godfrey Taita akichuana na mchezaji wa Yanga.
Mshambuliaji wa Yanga, Obrey Chirwa, akimtoka kipa wa Tanzania Prisons, Aron Kalambo, katika mchezo wa Kombe la Shirikisho uliofanyika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Yanga ilishinda 3-0. (Picha na Francis Dande).

No comments: