Advertisements

Sunday, May 28, 2017

YALIYOJIRI KATIKA MKUTANO WA BARAZA KUU LA CHADEMA

 MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendelea CHADEMA, Freeman Mbowe akifungua mkutano huo uliofanyika Mkoani Dodoma Mei 27,2017.
 Katibu Mkuu wa CHADEMA, Dk Vincent Mashinji akizungumza
 Meza kuu
 Mwenyekiti wa CHADEM, Freeman Mbowe akisoma taarifa za chama. 
Picha zote na Mroki Mroki.
 Wajumbe wa Baraza Kuu wakiwa katika Mkutano huo mjini Dodoma
 Wimbo wa Taifa uliimbwa
 Dua ilifanyika kabla ya kuanza mkutano huo.
 Wajumbe wakiwa mkutanoni
 Wajumbe ambao ni Wabunge wa Viti Maalum kutoka Mkoa wa Dodoma, Dk Immaculate Sware (kushoto) na Devotha Minja wa Morogoro.

Wajumbe wakifuatilia mkutano huo.

No comments: