Advertisements

Saturday, March 17, 2018

BONDIA IDDI MKWERA APAA LATVIA KUPAMBANA MPAMBANO WA UBINGWA MARCH 17

Katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere bondia Idd Mkwera kulia akielekea RiIigs, Latvia kwa ajili ya mpambano wake wa ubingwa wa Dunia wa I.B.A kushoto ni kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila ,Super D, na Emmanuel Mlundwa ambae ameambatana nae kwenda safari hiyo Mkwera atapanda ulingoni March 17 kuzipiga na Adrejs Podusovs 
Katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere bondia Idd Mkwera kulia akielekea RiIigs, Latvia kwa ajili ya mpambano wake wa ubingwa wa Dunia wa I.B.A kushoto ni kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila ,Super D, na Emmanuel Mlundwa ambae ameambatana nae kwenda safari hiyo Mkwera atapanda ulingoni March 17 kuzipiga na Adrejs Podusovs 
Katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere bondia Idd Mkwera kulia akielekea RiIigs, Latvia kwa ajili ya mpambano wake wa ubingwa wa Dunia wa I.B.A katikati ni kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila ,Super D, na Emmanuel Mlundwa ambae ameambatana nae kwenda safari hiyo Mkwera atapanda ulingoni March 17 kuzipiga na Adrejs Podusovs 
Katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere bondia Idd Mkwera katikati akielekea RiIigs, Latvia kwa ajili ya mpambano wake wa ubingwa wa Dunia wa I.B.A kulia ni kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila ,Super D, na Emmanuel Mlundwa ambae ameambatana nae kwenda safari hiyo Mkwera atapanda ulingoni March 17 kuzipiga na Adrejs Podusovs 

No comments: